Chairperson
Katika mwezi wa Septemba 2022, Ndugu IS-HAKA ALI KHAMIS ameteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar kuchukuwa nafasi ya ndugu Khamis R. Khamis.
Mahakama ya Ardhi ina mamlaka ya kupokea, kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya migogoro inayohusu;-
TANBIHI
Migogoro inapohusu serikali kama mdai au mdaiwa mashauri hupelekwa Mahakama kuu au Mahakama ya Mkoa.
Urban Region | 11.31 % |
---|---|
North Region (U) | 16.08 % |
South Region (U) | 13.57 % |
North Region (P) | 20.85 % |
South Region (P) | 20.85 % |