Chairperson
Katika mwezi wa Septemba 2022, Ndugu IS-HAKA ALI KHAMIS ameteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar kuchukuwa nafasi ya ndugu Khamis R. Khamis.
Katika mkoa huu, ofisi zetu zinapatikana Mwanakwerekwe
Katika mkoa huu, ofisi zetu zinapatikana Koani
Katika mkoa huu, ofisi zetu zinapatikana Gamba (Wilaya ya Kaskazini "A")
Urban Region | 11.31 % |
---|---|
North Region (U) | 16.08 % |
South Region (U) | 13.57 % |
North Region (P) | 20.85 % |
South Region (P) | 20.85 % |