MISION & VISSION

  •   Core Values
  • 1.   Kufanya kazi kwa kuzingatia Maadili,Taaluma na Uwajibikaji.

    2.  Kutoa huduma bora na kwa wakati zenye kuridhisha wananchi

    3.  Kutoa huduma kwa uwazi na ufanisi kwa kuzingatia taaluma ya sheria.

  •   Mision
  • Kuhakikisha kuwa MAHAKAMA YA ARDHI inamaliza migogoro ya ardhi iliyowasilishwa Mahakamani kwa asilimia tisini ( 90% ) ifikapo mwaka 2025.

  •   Vission
  • Kupokea, kusikiliza na kuamua migogoro yote ya ardhi inayowasilishwa Mahakamani kwa haraka na kwa wakati.

OUR STATISTICS

The figures are based on cases reported in our tribunals from 2006 to the present
Cases Status
% Based on Total Number of Filed Cases   
Urban Region 11.31  %
North Region (U) 16.08  %
South Region (U) 13.57  %
North Region (P) 20.85  %
South Region (P) 20.85  %

Chair Photo

Chairperson

Mr: Is-haka Ali Khamis

Chairperson

Katika mwezi wa Septemba 2022, Ndugu IS-HAKA ALI KHAMIS ameteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar kuchukuwa nafasi ya ndugu Khamis R. Khamis.

  RELATED LINKS