THE SLOGAN:

 

WELCOME TO THE LAND TRIBUNAL

Mahakama ya Ardhi Zanzibar imeanzishwa chini ya kifungu cha 3 (1) cha Sheria ya Mahakama ya Ardhi nambari 7 ya mwaka 1994 S. 3 of the Land Tribunal Act no. 7 of 1994. Sheria hii ilipitishwa na Baraza la Wawakilishi Zanzibar mnamo Tarehe 27/09/1994 na hatimae ilitiwa saini mnamo tarehe 24/2/1995 na aliyekua Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wa wakati huo MHE. DK. SALMIN AMOUR JUMA.

OUR STATISTICS

The figures are based on cases reported in our tribunals from 2006 to the present
Cases Status
% Based on Total Number of Filed Cases   
Urban Region 11.31  %
North Region (U) 16.08  %
South Region (U) 13.57  %
North Region (P) 20.85  %
South Region (P) 20.85  %

  ANNOUNCEMENTS

Chair Photo

Chairperson

Mr: Is-haka Ali Khamis

Chairperson

Katika mwezi wa Septemba 2022, Ndugu IS-HAKA ALI KHAMIS ameteuliwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi Zanzibar kuchukuwa nafasi ya ndugu Khamis R. Khamis.

  RELATED LINKS